PICHA:WAZIRI WA UJENZI JOHN MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI WAHANDISI MJINI DODOMA


 Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli akiwahutubia Waandisi 130 wakiwemo baadhi ya Naibu Mawaziri, Naibu Makatibu Wakuu, Wabunge na Katibu Tawala wa mkoa wa Katavi muda mfupi baada ya kuwaapisha jana.
--
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli (Mb) jana amewaapisha jumla ya Waandisi 130 wakiwemo baadhi ya Naibu Mawaziri, Naibu Makatibu Wakuu, Wabunge na Katibu Tawala wa mkoa wa Katavi.

Baadhiya Viongozi walio apa leo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Verynice Kawiche, ni Mhandisi Gerson Lwenge (Mb), Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Charles Tizeba (Mb), Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhandisi Mussa Iyombe, Katibu Mkuu waWizara yaUjenzi, Mhandisi Bashiri Mrindoko, Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Joseph Nyamhanga, Naibu Katibu Mkuu Wizara yaUjenzi.

Viongozi wengine walio apa ni Katibu Tawala Mkoa wa Katavi, Mbunge wa Kikwajuni Zanzibar Mhe. Hamadi Massauni, pamoja na Mbunge waTunduru Mashariki Mhe. RamoMakani

Pia kiapo hicho kitawafanya Wahandisi kufanyakazi kwa maadili bila kuvunja miiko au kulazimishwa kufanyakazi kinyume na maadili.

Baadhi ya Wahandisi viongozi walioapa jana

0 comments:

Copyright © 2013. MSANGIBIN ALLY - All Rights Reserved
Customized by: MSANGIYUSUPHALY | Powered by: KIINICHAHABARI
Designed by: http://kiinichahabaribongo1.blogspot.com/