PICHA ZINATISHA...UKATILI MKUBWA DAR...KIBAKA APOKEA KICHAPO KIKALI TOKA KWA WANANCHI WENYE HASIRA KALI...!!
Kutokana na hasira za watu hao walioamua kujichukulia sheria mkononi,sidhani kama alipona kwani baadaye walitokea mgambo wa jiji na kumuokoa, Wakati wakielekea katika kituo cha Polisi cha Karume Kibaka huyo alianguka na kupoteza fahamu kwani alikuwa akitokwa na damu nyingi kichwani.
Mmoja
wa wananchi mwenye hasira kali akimponda na tofari Kibaka ambaye jina
lake halikujulikana mara moja baada ya kudaiwa kumkwapua abiria mmoja
aliyekuwa ndani ya gari akisafiri kuelekea Mwenge akiwa ametokea
Tandika.
RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA BALOZI KAZAURA




(PICHA NA IKULU)
0 comments: