WAZIRI WA FEDHA ASOMA HUTUBA YA BAJETI YA SERIKALI YA ZANZIBAR


DSC_0805Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee akionesha begi lenye Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Zanzibar ya mwaka 2014-15.
DSC_0808Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifutilia Hutuba ya mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15.
DSC_0811Baadhi ya wakuu wa sekta mbali mbali pamoja na wananchi wakisikiliza Hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee (hayupo pichani) kuhusu mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Bweni Zanzibar.(Picha na Makame wa Maelezo Zanzibar).

0 comments:

Copyright © 2013. MSANGIBIN ALLY - All Rights Reserved
Customized by: MSANGIYUSUPHALY | Powered by: KIINICHAHABARI
Designed by: http://kiinichahabaribongo1.blogspot.com/