HII KALI!! HAWA NDIYO WANAMUZIKI WA KIUME AMBAO MPAKA LEO WANAISHI KWA MAMA ZAO (WATOTO WA MAMA)

Chid Benz

ni Ilala pale maflat ghorofa ya juu kabisa

Jux
 huyu pia anatumia zaidi mpunga wa mama kufanyia promo ya nyimbo zake still njemba inaminya home japo yupo china ila akirudi movie linaendea kwa mama jux

Dullayo
nyumbani ni majumba sita na hakuna mipango ya kutoka hapo born home die home
 
GosBy
mama kwa huyu jank ndio kila kitu anaitwa agripina

0 comments:

Copyright © 2013. MSANGIBIN ALLY - All Rights Reserved
Customized by: MSANGIYUSUPHALY | Powered by: KIINICHAHABARI
Designed by: http://kiinichahabaribongo1.blogspot.com/