WAFAHAMU WASANII WA BONGO WENYE SEXY BODIES ZINAZOWADATISHA WAREMBO...!!!
kwenye top 3 ya wanamuziki wenye mvuto zaidi.Talking about being sexy its not about kuwa na sura nzuri au kazi nzuri ya muziki msanii anayoifanya bali ni muonekano wa body jinsi ulivyojengeka,hii ni moja ya list ambayo at some point unaweza kumfanya mtu asiamini kumuacha girlfriend wake peke yake hata kwa dakika cause lolote linaweza kutokea katika dakika,talking about ladies wana go crazy pale wakutanapo na hawa Celebz.
Diamond Platnumz
Also known as sukari ya
warembo,Nii mwanamuziki wa kitanzania aliyeweza kupata mafanikio katika
kipindi kifupi tu na kuendelea kustay on top, kushikilia anga za muziki
wa bongo fleva na kufanikiwa kuitangaza nchi mbali mbali za africa na
nje ya mipaka hii ya Tanzania,He is one of the caeleb ambaye he drives
ladies crazy popote aonekanapo,si Tanzania tu hadi nje ya hapa Tz awapo
on tours zake zakimuziki.

Ali Kiba
Talking about legends kwenye game ambao wenye nyota ya kupendwa na watu,si mwingine bali ni ali kiba himself,huyu ndio celeb wa kipekee ambaye anaweza kukaa hata mwaka bila kutoa hit yoyote na bado watu wakiendelea kumkubali kwa track zake za zamani zipigwapo redioni,na kuzidi kuwa requested katika media za hapa tzee na Nje ya mipaka hii ya Bongo,he is the sexiest celeb of all time,anakila aina ya feature inayomfanya akae on top.
Talking about legends kwenye game ambao wenye nyota ya kupendwa na watu,si mwingine bali ni ali kiba himself,huyu ndio celeb wa kipekee ambaye anaweza kukaa hata mwaka bila kutoa hit yoyote na bado watu wakiendelea kumkubali kwa track zake za zamani zipigwapo redioni,na kuzidi kuwa requested katika media za hapa tzee na Nje ya mipaka hii ya Bongo,he is the sexiest celeb of all time,anakila aina ya feature inayomfanya akae on top.
Jux Vuitton

CDT:Bongo swaggz
0 comments: