BREAKING NEWSS: WAFANYABIASHARA YA MADINI YA MCHANGA,KOKOTO NA MAWE WAANDAMANA MPAKA KWA MKURUGEZI WA JIJI LA MBEYA


 Wafanyabiashara ya Madini ya mchanga,kokoto na mawe Jiji la Mbeya wameandamana kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji kwa kutumia maroli kupinga waraka wa Wizara ya Nishati na Madini unaowataka watumiaji wa bidhaa hiyo kulipia shilingi elfu mbili mia tano kuanzia Machi 3 mwaka huu. Habari na Joseph Mwaisango
Habari kamili itawaijia hivi punde

0 comments:

Copyright © 2013. MSANGIBIN ALLY - All Rights Reserved
Customized by: MSANGIYUSUPHALY | Powered by: KIINICHAHABARI
Designed by: http://kiinichahabaribongo1.blogspot.com/